John 17:1

Yesu Ajiombea Mwenyewe

1 aBaada ya Yesu kusema haya, alitazama kuelekea mbinguni akawaombea na kusema:

“Baba, saa imewadia. Umtukuze Mwanao, ili Mwanao apate kukutukuza wewe.
Copyright information for SwhNEN